Wanaonunua malori kutoka Uingereza wapewa tahadhari

Kupitia chapisho lake kwenye ukurasa wa X, Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mbelwa Kairuki ametoa tahadhari kwa wafanyabiashara wenye nia ya kununua malori yaliyotumika kutoka Uingereza wachukue tahadhari za msingi wanapofanya manunuzi ili kuepuka usumbufu na hasara inayoweza kutokea. Balozi Kairuki amewataka wanunuzi hao kuhakikisha kuwa kampuni wanazotaka kufanya nazo biashara zimesajiliwa nchini Uingereza, na…

Read More

MWENDA ASEMA “NITAVUNJA MKATABA NA SINGIDA”

Baada ya Soka Leo kuripoti juu ya taarifa za Aliyewahi kuwa mchezaji wa Simba, beki wa kulia Israel Mwenda, ambaye tulieleza kwamba amepanga kufikisha malalamiko yake FIFA. Sasa kuna habari mpya kumhusu mchezji huyo aliyesajiliwa na Singida Black Stars, awali alikuwa ameongezewa mkataba na Simba lakini aliomba kutafuta changamoto mpya, na ndipo Simba wakamruhusu akaondoka,…

Read More

TAIFA STARS IPO KAMILI GADO KUIVAA ETHIOPIA

BENCHI la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars limeweka wazi kuwa maandalizi kuelekea mchezo dhidi ya timu ya taifa ya Ethiopia yapo vizuri kwa kila mchezaji kuwa tayari kuipambania jezi ya Tanzania. Ni Septemba 4 2024 Taifa Stars inatarajiwa kushuka Uwanja wa Mkapa kwa ajili ya mchezo huo wa kuwania kufuzu AFCON 2025 itakuwa ni saa…

Read More