Kwa Ureno ukiacha Ronaldo, Bernardo Silva ndiye mchezaji mwingine ninayempenda – Modric
Kiungo wa kati wa Croatia, Luka Modric, amemtaja Bernardo Silva kama mchezaji mwingine wa Ureno…
Kiungo wa kati wa Croatia, Luka Modric, amemtaja Bernardo Silva kama mchezaji mwingine wa Ureno anayempenda mbali na Cristiano Ronaldo. Nahodha huyo wa Real Madrid ameyasema hayo kabla ya mechi ya Kundi A ya Ligi ya Mataifa ya Croatia dhidi ya Ureno itayopigwa usiku wa leo Alhamisi mjini Lisbon. “Kwenye kikosi cha Ureno, kando na…
Msanii wa muziki wa Bongofleva, Gift Stanford ‘Gig Money’ anasema hata hajui kama yuko kwenye mahusiano ama la. “Mimi hata sijui kama nipo kwenye uhusiano, maana mpenzi niliye naye sasa haeleweki, mara tupo pamoja mara hatupo pamoja, kiufupi liuhusiano langu halieleweki au siko kwenye uhusiano.”
Mwanamuziki nyota wa Marekani Lady Gaga, ameweka wazi kuwa mama yake mzazi ndiye aliyemtambulisha kwa mchumba wake wa sasa, Michael Polansky. Gaga mwenye umri wa miaka 38 alifichua hayo katika mahojiano aliyoyafanya na Jarida la Vogue hivi karibuni. Kwa mujibu wa msanii huyo, mama yake aliwahi kumtaarifu kipindi cha nyuma kuwa anamtafutia mume, lakini hakuwahi…
Kauli ya mwanamuziki wa bongofleva Diamond Platnumz ya kuweka wazi ndoto yake ya kuwa tajiri namba moja Duniani imezua gumzo Nchini na kuibua mijadala mbalimbali huku wengi wakishangazwa na ndoto hiyo ya staa wa bongofleva. Siku ya jana mtangazaji maarufu Mwijaku aliandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa instagram akionekana kukosoa maneno hayo ya Diamond huku…
Kupitia chapisho lake kwenye ukurasa wa X, Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mbelwa Kairuki ametoa tahadhari kwa wafanyabiashara wenye nia ya kununua malori yaliyotumika kutoka Uingereza wachukue tahadhari za msingi wanapofanya manunuzi ili kuepuka usumbufu na hasara inayoweza kutokea. Balozi Kairuki amewataka wanunuzi hao kuhakikisha kuwa kampuni wanazotaka kufanya nazo biashara zimesajiliwa nchini Uingereza, na…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan mapema le alipowasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Beijing Capital nchini China kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa nchi na Serikali wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) tarehe 03 Septemba, 2024.
Baada ya Soka Leo kuripoti juu ya taarifa za Aliyewahi kuwa mchezaji wa Simba, beki wa kulia Israel Mwenda, ambaye tulieleza kwamba amepanga kufikisha malalamiko yake FIFA. Sasa kuna habari mpya kumhusu mchezji huyo aliyesajiliwa na Singida Black Stars, awali alikuwa ameongezewa mkataba na Simba lakini aliomba kutafuta changamoto mpya, na ndipo Simba wakamruhusu akaondoka,…
BENCHI la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars limeweka wazi kuwa maandalizi kuelekea mchezo dhidi ya timu ya taifa ya Ethiopia yapo vizuri kwa kila mchezaji kuwa tayari kuipambania jezi ya Tanzania. Ni Septemba 4 2024 Taifa Stars inatarajiwa kushuka Uwanja wa Mkapa kwa ajili ya mchezo huo wa kuwania kufuzu AFCON 2025 itakuwa ni saa…