Kocha wa Arsenal Mikel Arteta amekubali kusaini kandarasi mpya ya miaka 3 itakayomuweka kwenye Uwanja wa Emirates hadi mwaka 2027.
Mkataba wa awali wa Arteta ulikuwa unatamatika mwishoni mwa msimu huu.
Kocha wa Arsenal Mikel Arteta amekubali kusaini kandarasi mpya ya miaka 3 itakayomuweka kwenye Uwanja wa Emirates hadi mwaka 2027.
Mkataba wa awali wa Arteta ulikuwa unatamatika mwishoni mwa msimu huu.