‘Gareth Southgate ndiye chaguo la wazi’kuwa mbadala wa Ten Hag
Nyota wa zamani wa Uingereza Joe Cole ametaja chaguo la wazi kuchukua nafasi ya Erik ten Hag katika klabu ya Manchester United. Ten Hag anaonekana kuwa na michezo miwili kuokoa kibarua chake Old Trafford baada ya United kuanza vibaya msimu huu na kipigo kibaya cha 3-0 Jumapili kutoka kwa Tottenham. Wachambuzi kadhaa wamehoji ni kwa…