Taarifa zilizotufikia zinasema mazishi ya aliyekuwa mwanamuziki na mfanyabiashara Joseph Francis, maarufu kwa jina la ‘Mandojo’ yatafanyika Manyoni, mkoani Singida sehemu ambapo alikulia.
Taarifa zilizotufikia zinasema mazishi ya aliyekuwa mwanamuziki na mfanyabiashara Joseph Francis, maarufu kwa jina la ‘Mandojo’ yatafanyika Manyoni, mkoani Singida sehemu ambapo alikulia.