EDO KUMWEMBE AMNG’ATA SIKIO DENIS NKANE…AMSAKIZIA NGASSA

BAADA ya kijana mdogo kuonekanakutopata nafasi ya kucheza katika mitaa ya Jangwani, Denis Nkane kijana mdogo mwenye kipaji kikubwa huenda ndoto zake za kusaka kabumbu hadi ulaya zinaweza kutotimia. Alipotoka Biashara Utd ya Mara kujiunga na Yanga, alikutana na kocha Nasradinne Nabi ambapo alikuwa akipata nafasi ya kuanza na kucheza, lakini tangu Nabi aondoke na ujio wa…

Read More

FOUNTAIN GATE YAWAPIGA MKWALA SIMBA

BAADA ya ushindi wa kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara, Fountain Gate wameipiga mkwara timu iliyowafunga katika mchezo wa kwanza ambayo ni Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Agosti 29 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Majaliwa ulisoma Namungo 0-2 Fountain Gate huku Namungo wakikosa penalti dakika ya 25 kwenye mchezo huo ambayo waliipata kutokana na…

Read More