Manchester United wametoa ofa yao ya kwanza ya euro milioni 35 kwa ajili ya kumsajili mchezaji wa Bayern Munich, Matthijs de Ligt, hata hivyo Bayern wamechomoa wanataka zaidi ya Euro milioni 50.
Manchester United wametoa ofa yao ya kwanza ya euro milioni 35 kwa ajili ya kumsajili mchezaji wa Bayern Munich, Matthijs de Ligt, hata hivyo Bayern wamechomoa wanataka zaidi ya Euro milioni 50.