Bamba Digital

MWAMBA ABUYA KWENYE ANGA ZA KIMATAIFA YANGA

MWAMBA wa kazi Duke Abuya raia wa Kenya ambaye ni kiungo aliyekuwa ndani ya Singida Black Stars atakuwa kwenye anga la kimataifa na uzi wa kijani na njano katika kikosi cha Yanga. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi inafanya maboresho makubwa kuelekea msimu mpya ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kitaifa na kimataifa. Abuya anaingia kwenye orodha ya nyota watakaokuwa na…

Read More

Mashindano ya Olimpiki kumrejesha Celine Dion.

Mkongwe wa sanaa ya muziki kutoka nchini Canada Celine Dion huwenda akatumbuiza kwenye sherehe za ufunguzi wa michezo ya Olimpiki inayofanyika jijini Paris,Ufaransa 2024.   Msanii huyo ambaye hivi karibuni alifunguka namna ambavyo alificha ugonjwa unaomsumbua licha ya kuwa dalili zake alianza kuziona mwaka 2008 ugonjwa huo unaosababisha mwili wake kudhoofika unatambulika kama Stiff Person…

Read More