Mzambia Mwingine Aipa ‘ Thank You’ Simba Baada Ya Chama
Mshambuliaji wa Zambia, Moses Phiri ameaga rasmi na kuthibitisha kuwa hatakuwa sehemu ya kikosi cha Simba kwa msimu ujao ikiwa ni wiki kadhaa baada ya Mzambia mwenzake Clatous Chama kuondoka msimbazi na kujiunga na Yanga. “Leo ndio siku ya mwisho mimi kuwa mchezaji wa Simba, shukrani zote ziwaendee wachezaji nilioshirikiana nao, viongozi wa Simba na…