Zari na mumewe hali tete….! wakimbiana Instagram.
Baada ya mkwaruzano wa siku kadhaa kati ya mrembo Zari the Boss Lady na mumewe Shakib Lutaaya huwenda wasiweze kkuwa pamoja tena na hii ni baada ya kila mmoja kumu-unfollow mwenzake kwenye ukurasa wake wa Instagram na kufuta picha zote walizokuwa wamepiga pamoja . Zari na mumewe Shakib wamekuwa kwenye mgogoro kwa uliosababishwa na baba…