Nampenda sana Wizkid – Nicki Minaj

Kutoka nchini Marekani, Malkia wa Rap Nicki Minaj ameeleza jinsi anavyovutiwa na mwanamuziki wa Nigeria, Ayodeji Balogun, maarufu kwa jina la Wizkid. Akiongea hivi majuzi kwenye kipindi cha #StationHead, Nicki alisema ana ‘upendo na heshima nyingi’ kwa Wizkid. Minaj alimuelezea staa huyo wa ngoma maarufu ya ‘Ojuelegba’ kama mtu mtulivu na mwenye akili nyingi. “Wizkid…

Read More