Penzi jipya la Jux lamtesa EX wake.

Aliyewahi kuwa mpenzi wa msanii wa muziki wa bongofleva Juma Jux mwanadada Karen Bujulu ameonekana kuumizwa na penzi jipya la msanii huyo kutokana na kile alichokichapisha kwenye ukurasa wake wa instagram muda mfupi baada ya Jux kuchapisha picha akiwa na mpenzi wake mpya raia wa Nigeria Pricila Star.   Jux ambaye hivi karibuni amekuwa akitajwa…

Read More

Bilionea wa India agharamia harusi za watu 50 na kuwalisha kwa mwaka mzima.

Tajiri namba moja barani Asia kutoka Nchini India Mukesh Ambani ambaye hivi karibuni alitikisa Duniani kutokana na harusi kubwa na ya kifahari ya kijana wake Anant Ambani iliyohudhuriwa na mabilionea duniani kote kuzua gumzo,imefahamika kuwa kabla ya harusi hiyo ya kijana wake iliyogharimu zaidi ya Trilioni 1.9 aligharamia pia harusi za wachumba 50 ambao hakuwa…

Read More