Mashindano ya Olimpiki kumrejesha Celine Dion.

Mkongwe wa sanaa ya muziki kutoka nchini Canada Celine Dion huwenda akatumbuiza kwenye sherehe za ufunguzi wa michezo ya Olimpiki inayofanyika jijini Paris,Ufaransa 2024.   Msanii huyo ambaye hivi karibuni alifunguka namna ambavyo alificha ugonjwa unaomsumbua licha ya kuwa dalili zake alianza kuziona mwaka 2008 ugonjwa huo unaosababisha mwili wake kudhoofika unatambulika kama Stiff Person…

Read More