BIDEN

BIDEN AVAA KOFIA YA TRUMP 2024

Rais wa Marekani Joe Biden aonekana akivaa kofia ya Trump 2024 akiwa kwenye ziara katika kituo cha zima moto huko Shanksville, Pennsylvania. Tukio hilo la limeshangaza wengi limezua mijadala mitandaoni huku likihusishwa na mjadala wa urais uliopita kati ya Trump na Kamala Harris. Pia limetafsiriwa na wengine kama mzaha au tukio la kisiasa na ishara…

Read More

Wanaonunua malori kutoka Uingereza wapewa tahadhari

Kupitia chapisho lake kwenye ukurasa wa X, Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mbelwa Kairuki ametoa tahadhari kwa wafanyabiashara wenye nia ya kununua malori yaliyotumika kutoka Uingereza wachukue tahadhari za msingi wanapofanya manunuzi ili kuepuka usumbufu na hasara inayoweza kutokea. Balozi Kairuki amewataka wanunuzi hao kuhakikisha kuwa kampuni wanazotaka kufanya nazo biashara zimesajiliwa nchini Uingereza, na…

Read More

DENI LASABABISHA UHABA MKUBWA WA MAFUTA NIGERIA

Kampuni ya Kitaifa ya Petroli ya Nigeria (NNPC Ltd) inakabiliwa na matatizo ya kifedha, ambayo yameweka shinikizo kubwa kwa makampuni ya usambazaji mafuta na kusababisha tishio kwa uendelevu wa usambazaji wa mafuta. Olufemi Soneye, Afisa Mkuu wa Mawasiliano wa Kampuni ya NNPC Ltd, alifahamisha haya katika taarifa Jumapili, akikubali ripoti katika magazeti ya kitaifa kuhusu…

Read More