chikao chikao

BIDEN

BIDEN AVAA KOFIA YA TRUMP 2024

Rais wa Marekani Joe Biden aonekana akivaa kofia ya Trump 2024 akiwa kwenye ziara katika kituo cha zima moto huko Shanksville, Pennsylvania. Tukio hilo la limeshangaza wengi limezua mijadala mitandaoni huku likihusishwa na mjadala wa urais uliopita kati ya Trump na Kamala Harris. Pia limetafsiriwa na wengine kama mzaha au tukio la kisiasa na ishara…

Read More

RAHEEM STERLING WA ARSENAL AJA KIVINGINE ABATIZWA NA KUGEUKIA UKRISTO

Mchezaji wa Asernal aliyejiunga kwa mkopo kwenye klabu hiyo akitokea Chelsea Raheem Sterling Muingereza mwenye asili ya Jamaica amebatizwa na kubadilisha imani yake katika Dini ya Kikisto. Baadhi ya video zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha Sterling akiwa na mavazi meupe akibatizwa huko nyumbani kwao nchini Jamaica alipozaliwa.   Sterling amesema amefanya uamuzi huo baada…

Read More

Moyo wangu wa-Baridii siwezi kupenda tena, wala sipati hisia – Ruger

Kutoka Nigeria mwanamuziki, Michael Adebayo Olayinka, almaarufu kwa jina la Ruger, amefunguka kuhusu undani wa maisha yake ya kimapenzi. Msanii huyo kipenzi cha wadada, amewashtua wengi kwa kusema ‘hawezi kupenda tena’ kwasababu maisha yake ya mapenzi yameharibiwa na hivyo anashindwa kupata hisia. “Maisha yangu ya mapenzi yameharibika … siwezi kupenda tena. Moyo wangu ni baridiiii….

Read More