Mrembo achagua kuhesabu mchele badala ya kuwaamini wanaume, azua gumzo mitandaoni

Mwanamke mmoja amezua hisia kwenye mitandao ya kijamii baada ya kudai kwamba kwake kumuamini mwanamume ni vigumu. Mrembo huyo alisema kwamba endapo atatakiwa kufanya chaguo kati ya kuamini mwanamume au kuanza kuhesabu nafaka za mchele moja baada ya nyingine, basi yuko radhi kuhesabu nafaka za mcheke hata kama ni gumia mzima. Katika chapisho la video…

Read More