Bilionea wa India agharamia harusi za watu 50 na kuwalisha kwa mwaka mzima.

Tajiri namba moja barani Asia kutoka Nchini India Mukesh Ambani ambaye hivi karibuni alitikisa Duniani kutokana na harusi kubwa na ya kifahari ya kijana wake Anant Ambani iliyohudhuriwa na mabilionea duniani kote kuzua gumzo,imefahamika kuwa kabla ya harusi hiyo ya kijana wake iliyogharimu zaidi ya Trilioni 1.9 aligharamia pia harusi za wachumba 50 ambao hakuwa…

Read More

Mrembo achagua kuhesabu mchele badala ya kuwaamini wanaume, azua gumzo mitandaoni

Mwanamke mmoja amezua hisia kwenye mitandao ya kijamii baada ya kudai kwamba kwake kumuamini mwanamume ni vigumu. Mrembo huyo alisema kwamba endapo atatakiwa kufanya chaguo kati ya kuamini mwanamume au kuanza kuhesabu nafaka za mchele moja baada ya nyingine, basi yuko radhi kuhesabu nafaka za mcheke hata kama ni gumia mzima. Katika chapisho la video…

Read More