Skip to content
07/06/2025
  • Habari za Magazeti ya Tanzania leo October 12, 2024
  • Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akishiriki zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura
  • Drake apiga hatua kubwa ya streams kwenye jukwaa la Spotify
  • ‘Gareth Southgate ndiye chaguo la wazi’kuwa mbadala wa Ten Hag
BAMBA DIGITAL

BAMBA DIGITAL

Feel at Home

  • Home
  • Entertainment
  • Top Storie
  • News
  • Magazeti
  • Contact Us
  • English Premier League Table 2024-25
YOUTUBE
Headlines
  • Habari za Magazeti ya Tanzania leo October 12, 2024

    8 months ago
  • Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akishiriki zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura

    8 months ago
  • Drake apiga hatua kubwa ya streams kwenye jukwaa la Spotify

    8 months ago8 months ago
  • ‘Gareth Southgate ndiye chaguo la wazi’kuwa mbadala wa Ten Hag

    8 months ago
  • Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo October 01, 2024

    8 months ago
  • Waliotumwa na Afande wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela, ‘Kesi ya Binti wa Yombo’

    8 months ago8 months ago
  • Home
  • Sports
  • Page 11

Highlight News

Sports

  • Sports

Azam yabamizwa 4-1 na Wydad ya Rulani Mokwena

chikao chikao10 months ago10 months ago01 mins

Klabu ya Azam imepoteza 4-1 mchezo wao wa kirafiki dhidi ya klabu ya Wydad AC ya Morocco mchezo uliomalizika hivi punde.   Mchezo huo wa mwisho wa Azam kuhitimisha kambi yao ya Benslimane Morocco ulianza saa 2 usiku na kushuhudia sare ya 1-1 hadi mapumziko huku Azam wakibamizwa magoli matatu kipindi cha pili na vijana…

Read More
  • Sports

Opah Clement aanza kukiwasha rasmi ligi kuu China

chikao chikao10 months ago10 months ago01 mins

Nahodha wa timu ya Taifa Wanawake Tanzania Opah Clement amejiunga na kuanza kuitumikia rasmi klabu yake mpya ya Henan Jianye FC ya ligi kuu wanawake nchini China akitokea klabu ya Besitkas ya ligi kuu Uturuki. Opah siku moja tu baada ya kutambulishwa alicheza mchezo wake wa kwanza wa ligi kuu nchini humo huku timu yake…

Read More
  • Sports

Simba yaitandika 2-1 Timu ya Saudia

chikao chikao10 months ago10 months ago01 mins

Klabu ya Simba imeshinda magoli 2-1 dhidi ya klabu ya Al Adalah ya ligi daraja la kwanza nchini Saudi Arabia kwenye mchezo wa tatu wa maandalizi ya msimu (Pre Season) uliochezwa kwenye dimba la Suez Canal nchini Misri. Kwenye mchezo huo magoli ya Simba yamefungwa na wachezaji wapya Steven Mukwala dakika ya 9 na Joshua…

Read More
  • Sports

Azam kumaliza kambi ya Pre-Season Morocco na Wydad ya Rulani Mokwena

chikao chikao10 months ago10 months ago01 mins

Klabu ya Azam leo usiku itahitimisha kambi ya maandalizi ya msimu iliyoweka kwa wiki kadhaa huko Benslimane Morocco kwa mchezo mkubwa wa kirafiki dhidi ya Wydad AC ambayo ni moja ya klabu kubwa nchini humo na barani Afrika kwa ujumla.   Mchezo huo dhidi ya Wydad ambao wanafundishwa na aliyekuwa kocha wa Mamelodi Sundwons Rulani…

Read More
alikamwe
  • Sports

ALI KAMWE AJIUZULU NA KUAGA YANGA, AONDOKA RASMI

chikao chikao10 months ago10 months ago02 mins

Aliyekuwa Meneja wa idara ya habari na Mawasiliano ya klabu ya Yanga Ali Kamwe kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii ametangaza kujiuzulu na kuaga mashabiki wa klabu hiyo kuendelea kutumikia nafasi hiyo. Hii inajiri baada ya Haji Manara kumaliza kifungo chake cha miaka miwili kujihusisha na masuala ya Michezo, Huku hata wakati Yanga imesafiri…

Read More
  • Sports

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ASHIRIKI NBC DODOMA MARATHON

chikao chikao10 months ago10 months ago01 mins

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa leo Julai 28, 2024 ameshiriki katika mbio za hisani za Benki ya NBC zilizoanzia na kuishia katika uwanja wa mpira wa miguu wa Jamhuri jijini Dodoma. Mheshimiwa Majaliwa ameipongeza benki hiyo kwa kaundaa mbio hizo zenye lengo la kusaidia mapambano dhidi ya saratani ya…

Read More
  • Sports

Benchikha awavuta wachezaji na makocha Simba Aljeria

chikao chikao10 months ago10 months ago01 mins

Baada ya aliyekuwa kiungo wa klabu ya Simba, Babacar Sarr kutangazwa kama mchezaji mpya wa klabu ya JS Kabylie ya Algeria kama mchezaji huru baada ya kumalizana na Wekundu hao wa Msimbazi mpaka sasa klabu ya JS Kabylie ina wachezaji na watumishi wa bechi la Ufundi zaidi ya watano kutoka Simba.   Babacar raia wa…

Read More
  • Sports

Yanga yaibamiza Kaizer Chiefs 4-0 kwao.

chikao chikao10 months ago10 months ago01 mins

Klabu ya Yanga imeshinda goli 4-0 dhidi ya Klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrka kusini kwenye mchezo wa fainali ya Toyota Cup ambao pia ni wa maandalizi ya msimu mpya uliochezwa kwenye dimba la Toyota Stadium mjini Bloemfontein Afrika kusini.   Magoli ya Yanga kwenye mchezo huo yamefungwa na Mshambuliaji mpya Prince Dube, Stephanie Aziz…

Read More
  • 1
  • …
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • …
  • 19
© 2024 BAMBA DIGITAL. All Rights Reserved. Powered By BlazeThemes.