Tuzo hazina “link” msipotoshwe ; TFF
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ‘TFF Awards 2024’ limethibitisha kuwa halfa za kukabidhi tuzo hizo zitafanyika Agosti Mosi, 2024 katika ukumbi wa The Super Dome Masaki, Dar es Salaam huku ikionya kuwa tuzo hizo hazina vigezo vya mashabiki kupiga kura kama ambavyo imekuwa ikipotoshwa mitandaoni. “Tunapenda kusisitiza kuwa katika vigezo hivyo, hakuna cha…