Kwa Hiki Chuma, Hata Messi Anafichwa

Muda wowote kuanzia sasa mlinzi wa Lille, Leny Yoro anaweza akatua kwenye Jiji la Manchester kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Man United. Inaelezwa kuwa kila kitu kimekamilika kilichosalia ni kufanyiwa vipimo vya afya na kumalizika mambo binafsi kabla ya Mfaransa huyo kutangazwa na Red Devils. Taarifa za uhakika zaidi zinaeleza kuwa Man United watalipa…

Read More