Ten Hag yupo sana Man Utd – C.E.O United
Baada ya mfululizo wa matokeo mabaya tangu kuanza kwa msimu wa ligi kuu Uingereza 2024-25 Afisa mtendaji mkuu wa klabu ya Manchester United Omar Berrada amesema utawala wa timu hiyo una imani kubwa na kocha mkuu wa timu hiyo Erik Ten Hag ambaye amekuwa akipondwa sana na mashabiki wa timu hiyo. “Tunafikiri Erik Ten Hag…