MSIMAMO WA FEISAL KWA AZAM FC

Kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema licha ya kuondolewa mapema katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, anaamini timu hiyo ina kikosi bora chenye ushindani na nafasi yao mwisho wa msimu kwenye ligi iko palepale. . “Hakuna mchezaji ambaye alitamani tuishie njiani, tulikuwa na malengo makubwa lakini imeshatokea, hatujakata…

Read More
Lameck lawi

MASIKINI LAWI AREJEA BONGO, HATIMA YAKE HAIJUI

Baada ya kurejea nchini, beki Lameck Lawi amesema hatma ya yeye kuitumikia Coastal Union ipo chini ya Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) baada ya Simba kuendelea kukomaa. Lawi ambaye alisaini mkataba ndani ya Simba, ameshindwa kuitumikia timu hiyo na badala yake alitimkia Ubelgiji kwa ajili ya kujaribu…

Read More

Edna Lema arejea Yanga Princess

Klabu ya Yanga imethibitisha kumrejesha aliyekuwa kocha wao mkuu wa timu ya Wanawake Edna Lema kuwa kocha mkuu kwa mara nyingine. Edna ambaye aliondoka Yanga msimu wa baada ya 2022/23 kuelekea Bishara United ya ligi daraja la kwanza amerejea Yanga baada ya msimu mmoja na sasa atakuwa kocha mkuu wa Yanga Princess kwaajili ya msimu…

Read More