Halland ni kama Messi na Ronaldo – Guardiola

Kocha mkuu wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola akizungumza kuhusu Haaland baada ya mechi ya jana dhidi ya Chelsea amesema kuwa mshambuliaji huyo anafanana kitakwimu na washindi mara nyingi ya tuzo ya Ballon D’or Lionell Messi na Cristiano Ronaldo. “Hizi namba ni kama Lionel Messi na Cristiano Ronaldo ni namba za kiwango hicho. Kufanya…

Read More

AWESU AWESU WA SIMBA ATAMBULISHWA KMC

NYOTA Awesu Awesu rasta aliyetambulishwa kuwa kwenye changamoto mpya msimu wa 2024/25 ndani ya kikosi cha Simba kinachoolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids.. Alitambulishwa kuwa mali ya Simba Julai 17 akitokea KMC, alijiunga na timu kambini Misri Julai 17 alicheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki Simba Day,Agosti 3 na ametambulishwa kwa mara nyingine kurejea KMC,Agosti 13. Inaelezwa…

Read More