Pepe astaafu kucheza soka, Ronaldo ampigia saluti
Beki wa timu ya Taifa Ureno Pepe ametangaza kustaafu soka la kulipwa akiwa na umri wa miaka 41, baada ya kucheza kwa miaka 23 mfululizo. Pepe alipata mafanikio makubwa akiwa na Real Madrid, ambapo alipata mataji matatu ya UEFA Champions League na mataji matatu ya La Liga. Akiwa na Ureno Pepe aliweka heshima kubwa baada…