Yanga yashinda kesi dhidi ya Mzee Magoma

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mnamo August 09,2024 imetupilia mbali mwenendo mzima wa maombi yaliyofunguliwa na Juma Magoma na wenzake ya kutaka kuundoa uongozi wa Club ya Yanga madarakani na pia kuweka kando tuzo na amri zote zilizotolewa katika hukumu iliyowapa ushindi Wazee hao.   Pamoja na kutupilia mbali maombi yao, Mahakama hiyo imeamuru Magoma,…

Read More

SIMBA KUSHUSHA MSHAMBULIAJI MPYA

“Nina changamoto kwenye kushambulia, nina furaha na kikosi changu, lakini upo uwezekano wa kutafuta mshambuliaji mwingine na uzuri, uongozi umeonesha nia kunisapoti, nina imani tutasajili mshambuliaji mwingine.”   Fadlu Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC akizungumza kuelekea mechi yao dhidi ya Coastal Union kwenye michuano ya Ngao ya Jamii.   Tetesi zinaeleza kuwa huenda klabu…

Read More

SIMU BADO ZITAITA SANA KWA MUDATHIR

MUDATHIR Yahya kiungo wa Yanga ubora wake uleule unaendelea msimu wa 2024/25 kwa mujibu wa Maulid Kitenge ameweka wazi kuwa kwa Muda simu zitaita sana. Agosti 4 katika utambulisho wa wachezaji wapya na wale waliokuwa na kikosi cha Yanga msimu wa 2023/24 kwenye kilele cha Wiki ya Mwananchi wakati ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Yanga 2-1 Red…

Read More