Halland ni kama Messi na Ronaldo – Guardiola

Kocha mkuu wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola akizungumza kuhusu Haaland baada ya mechi ya jana dhidi ya Chelsea amesema kuwa mshambuliaji huyo anafanana kitakwimu na washindi mara nyingi ya tuzo ya Ballon D’or Lionell Messi na Cristiano Ronaldo. “Hizi namba ni kama Lionel Messi na Cristiano Ronaldo ni namba za kiwango hicho. Kufanya…

Read More