Mazishi ya Mandojo kufanyika Manyoni mkoani Singida
Taarifa zilizotufikia zinasema mazishi ya aliyekuwa mwanamuziki na mfanyabiashara Joseph Francis, maarufu kwa jina la ‘Mandojo’ yatafanyika Manyoni, mkoani Singida sehemu ambapo alikulia.
Taarifa zilizotufikia zinasema mazishi ya aliyekuwa mwanamuziki na mfanyabiashara Joseph Francis, maarufu kwa jina la ‘Mandojo’ yatafanyika Manyoni, mkoani Singida sehemu ambapo alikulia.
Nyota wa muziki Nigeria, Peter Okoye ‘Mr P’ wa kundi maarufu la muziki la ‘Psquare’ ameandika barua ya wazi kwa pacha wake Paul Okoye ‘Rudeboy’. Kupitia ukurasa wa Instagram wa Mr P, alimtaka pacha wake afahamu kuwa hakuwa kwenye ushindani na yeye wala na mtu yoyote yule hivyo kuendelea kufanya mahojiano ya kumdhalilisha kwenye mitandano…
Mshambuliaji nyota wa Real Madrid, Mbrazil Vinicius Junior, ameripotiwa kukataa ofa ya kitita kikubwa cha pesa kutoka kwa waarabu, ili akacheze Ligi Kuu ya Saudi Arabia. Zimekuwa zikifanyika juhudi kubwa kuhakikisha mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 anacheza Saudia akiungana na mreno Christiano Ronaldo, hata hivyo Real Madrid haitaki kumuuza mchezaji huyo ambaye kifungu…
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Tanzania, Awadhi Juma Haji amewaagiza makamanda wa Polisi wa Mikoa (RPC) kufanya ukaguzi kwenye mabasi yanayoelekea jijini Mbeya kwenye kongamano la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuwachukua hatua wahusika. Haji ametoa maagizo hayo leo Jumapili, Agosti 11, 2024 wakati akizungumza na waandishi wa habari…
Alexis Sanchez amerejea Udinese siku ya Jumamosi baada ya mshambuliaji huyo wa Chile kunyofolewa na mabingwa wa Serie A Inter Milan. Katika taarifa yake, Udinese inesema kuwa Sanchez, 35, alitia saini mkataba wa miaka miwili na klabu hiyo ambapo ilimfanya achomoze katika soka la Ulaya. Sanchez alisajiliwa kwa mara ya kwanza Udinese mwaka 2006 na…
Wakati uchunguzi ukiendelea kuhusu ajali ya ndege nchini Brazil iliyoua watu 62, imebainika kuwa waliofariki ni pamoja na madaktari wa saratani, mtoto wa miaka mitatu, wakili aliyebobea katika kesi dhidi ya mashirika ya ndege na familia ya Venezuela na mbwa wao, vyombo vya habari vya ndani vimeripoti. Miili yote sasa imeopolewa kutoka eneo la ajali…
Pitia kurasa za mbele za magazeti ya Tanzania Kitaifa na kurasa za kimichezo, pamoja na gazeti la Michezo ya leo Jumatatu August 12, 2024 na ujipatie nakala yako kwa undani wa habari.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameondoka leo nchini kwenda Rwanda kushiriki sherehe za uapisho wa Rais Mteule wa nchi hiyo, Paul Kagame. Taarifa ya Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Sharifa Nyanga ilisema jana kuwa Kagame ambaye alichaguliwa kuwa rais wa nchi hiyo Julai 2024, anaapishwa leo. Katika uchaguzi…