Aliyekuwa mpenzi wa Aziz Ki ajifungua mtoto wa kiume.

Aliyekuwa mpenzi wa kiungo wa Yanga Stephane Aziz Ki muigizaji Mtanzania Vanessa Mmasa amejifungua mtoto na kupongezwa na baadhi ya wachezaji wa Yanga Pacome Zouzoua pamoja na Atouhala Yao Yao. Kwa mujibu wa taarifa ambazo BAMBA DIGITAL imezipata inasemekana mwanadada huyo amejifungua mtoto wa kiume. Ikumbukwe miezi michache nyuma muigizaji huyo alikuwa akionekana kuwa karibu…

Read More

SIMU BADO ZITAITA SANA KWA MUDATHIR

MUDATHIR Yahya kiungo wa Yanga ubora wake uleule unaendelea msimu wa 2024/25 kwa mujibu wa Maulid Kitenge ameweka wazi kuwa kwa Muda simu zitaita sana. Agosti 4 katika utambulisho wa wachezaji wapya na wale waliokuwa na kikosi cha Yanga msimu wa 2023/24 kwenye kilele cha Wiki ya Mwananchi wakati ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Yanga 2-1 Red…

Read More