Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 05, 2024
Pitia kurasa za mbele za magazeti ya Tanzania Kitaifa na kurasa za kimichezo, pamoja na gazeti la Michezo ya leo August 05, 2024 na ujipatie nakala yako kwa undani wa habari.
Pitia kurasa za mbele za magazeti ya Tanzania Kitaifa na kurasa za kimichezo, pamoja na gazeti la Michezo ya leo August 05, 2024 na ujipatie nakala yako kwa undani wa habari.
Leo tarehe 3 August 2024 ni siku ambayo ilikuwa inasubiriwa kwa hamu na wanachama, mashabiki na wapenzi wa Simba, kwenye kusherehekea siku yao pendwa na Simba Day, ambapo meneja habari na mawasiliano wa Simba Ahmed Ally aliingia kwa aina ya kipekee akiwa na wamasai pia akivalia mavazi ya kimasai. Simba Day “Ubaya Ubwela” huu ni…
Tazama picha za Matukio ya Wanasimba kwenye Ubaya Ubwela Simba Day
Matukio kwenye Simba Day, wanasimba tayari kwenda kushihudia burudani ya Ubaya Ubwela.
Bodi ya Kahawa imezindua mradi wa mgahawa unaotembea maeneo mbalimbali yenye mikusanyiko ya watu ili kuweza kutoa huduma ya unywaji wa kahawa. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonesho ya wakulima na wafugaji (88) yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya 88 Nzuguni jijini Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Primus Kimaryo amesema mkakati wao ni…
Kocha wa Simba, Fadlu Davids, amewaomba mashabiki kujaa kwa wingi leo Uwanja wa Benjamin Mkapa kukiangalia kikosi kipya cha timu hiyo kitakachowapa burudani ya soka la kuvutia na lenye kasi. “Tupo tayari, mashabiki watarajie mchezo mzuri, lakini pia watarajie msimu mzuri wa Ligi Kuu na mashindano ya Kimataifa,” alisema Hussen. “Baada ya mchezo wa leo,…
Klabu ya Namungo imetangaza kumsajili mshambuliaji wa zamani wa Simba, Meddie Kagere kwa kumpa mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo yenye maskani yake mkoani Lindi. Kagere amesajiliwa mwaka mmoja baada ya mkataba wake wa mkopo kutoka Singida Black Stars kumalizika. Habari kutoka ndani ya klabu hiyo zinasema kuwa mabosi wa klabu hiyo wamempa mwaka…
Kama vile Ambavyo Meneja Habari wa Yanga Ally Kamwe alivyosema kuwa leo wananchi ambao watanunua tiketi za Siku ya Wananchi ambayo itafanyika tarehe 4, ndivyo ilivyofanyika leo zoezi la uuzaji tiketi umefanyika na supu zikanyweka, picha za matukui hizi hapa chini.