Makala: Ukweli kuhusu Maajabu ya Bahari iliyokufa
Dunia ina mambo mengi sana ambayo mengine si rahisi kuyafahamu lakini yapo ya kushangaza na yenye historia, ikiwemo Bahari iliyokufa ikifahamika kama ‘Dead Sea’ iliyopo Mashariki ya kati. Katika Bahari hiyo mtu ukiingia huwezi kuzama hata kama hujui kuogelea na si rahisi kuamini kwamba kuna Bahari au Ziwa lolote duniani ambalo mtu akiingia hawezi kuzama…