Unaweza kudhani ni mtoto wa miaka 4, lakini ni kijana wa miaka 22

Hasbulla Magomedov ni staa mkubwa kwenye mitandao ya kijamii anayetokea Dagestan huko nchini Urusi. Alipata umaarufu mwishoni mwa 2020 kwa vichekesho vyake kwenye Instagram kabla ya umaarufu wake kuongezeka alipoanza kutumia TikTok mwaka 2021 na amekuwa akialikwa sehemu mbalimbali duniani. Ukimuangalia jinsi alivyo unaweza kudhani ni mtoto wa miaka 4, lakini Hasbulla aliyezaliwa mwaka 2002…

Read More