
Mmiliki wa mabasi ya Sauli afariki kwa ajali ya gari
Mmiliki wa mabasi ya Sauli, Solomon Sauli Mwalabila amefariki dunia alfajiri ya leo Agosti 4, 2024 katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Miwaleni, Wilaya ya Mlandizi mkoani Pwani. Taarifa zinaeleza kuwa gari aina ya Fuso lenye namba za usajili T213 DQD lilipata hitilafu ya kiufundi na kuligonga gari aina ya Jeep alilokuwemo tajiri huyo…