Brazil na Argentina

BRAZIL NA ARGENTINA ZAPASUKA VIBAYA HUKO AMERIKA KUSINI

Usiku wa kuamkia leo mataifa mawili makubwa kwenye soka kutokea Bara la Amerika Kusini Brazil na Argentina yamechezea vichapo kwenye michezo ya kufuzu Kombe la Dunia inayoendelea Barani humo. Mapema kabisa ilikuwa Argentina ambao wao wamejikuta wakichapwa goli 2-1 na timu ya taifa Colombia kwenye mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Estadio Metropolitano Roberto Meléndez huko…

Read More

Wanaonunua malori kutoka Uingereza wapewa tahadhari

Kupitia chapisho lake kwenye ukurasa wa X, Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mbelwa Kairuki ametoa tahadhari kwa wafanyabiashara wenye nia ya kununua malori yaliyotumika kutoka Uingereza wachukue tahadhari za msingi wanapofanya manunuzi ili kuepuka usumbufu na hasara inayoweza kutokea. Balozi Kairuki amewataka wanunuzi hao kuhakikisha kuwa kampuni wanazotaka kufanya nazo biashara zimesajiliwa nchini Uingereza, na…

Read More