
Ajali ya gari yaua mtalii hifadhi ya Serengeti
Mtalii mmoja amefariki na wengine 6 kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea jana Julai 28, 2024 saa 10 jioni katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa) leo Julai 29, 2024 gari hiyo ilikuwa na watalii 7 wenye asili ya China na dereva raia…