Bahati Bukuku Afunguka Juu ya Uwoya Kuokoka
Mwimbaji mkongwe wa muziki wa Injili Bongo, Bahati Bukuku amefunguka kuhusu Irene Uwoya kuokoka na kuwa Mchungaji. “Kitendo cha Irene Uwoya kuokoka na kuamua kuwa Mchungaji ni kitendo cha Kimungu zaidi watu wasichukulie poa. Sio rahisi mtu kama Irene Uwoya kuamua kubadilika na kumrudia Mungu, kwa ufahari wake angeweza hata kufanya maovu mengine ya dunia…