
ALI KAMWE AJIUZULU NA KUAGA YANGA, AONDOKA RASMI
Aliyekuwa Meneja wa idara ya habari na Mawasiliano ya klabu ya Yanga Ali Kamwe kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii ametangaza kujiuzulu na kuaga mashabiki wa klabu hiyo kuendelea kutumikia nafasi hiyo. Hii inajiri baada ya Haji Manara kumaliza kifungo chake cha miaka miwili kujihusisha na masuala ya Michezo, Huku hata wakati Yanga imesafiri…