SIMBA WARUDI NA MIL 600 TZ KUMPATA MPANZU
INAELEZWA kuwa Mabosi wa Simba wamerudi tena kwa mara nyingine wakifosi zaidi kuinasa ya mchezaji wa AS Vita Elie Mpanzu. Simba hadi jana walikuwa wametuma ofa ya dola 200,000 sawa na Tsh Milioni 540, wakati huo AS Vita walikuwa wanahitaji Dola 250,000. Asubuhi ya Leo Simba wameongeza tena mzigo hadi kufikia dola 225,000 sawa na Tsh…