Skip to content
04/06/2025
  • Habari za Magazeti ya Tanzania leo October 12, 2024
  • Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akishiriki zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura
  • Drake apiga hatua kubwa ya streams kwenye jukwaa la Spotify
  • ‘Gareth Southgate ndiye chaguo la wazi’kuwa mbadala wa Ten Hag
BAMBA DIGITAL

BAMBA DIGITAL

Feel at Home

  • Home
  • Entertainment
  • Top Storie
  • News
  • Magazeti
  • Contact Us
  • English Premier League Table 2024-25
YOUTUBE
Headlines
  • Habari za Magazeti ya Tanzania leo October 12, 2024

    8 months ago
  • Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akishiriki zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura

    8 months ago
  • Drake apiga hatua kubwa ya streams kwenye jukwaa la Spotify

    8 months ago8 months ago
  • ‘Gareth Southgate ndiye chaguo la wazi’kuwa mbadala wa Ten Hag

    8 months ago
  • Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo October 01, 2024

    8 months ago
  • Waliotumwa na Afande wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela, ‘Kesi ya Binti wa Yombo’

    8 months ago8 months ago

Highlight News

  • Sports

Alcaraz atwaa tena Ubingwa wa Wembledon dhidi ya Djokovic

chikao chikao11 months ago9 months ago01 mins

Nyota wa mchezo wa Tenisi na aliyekuwa bingwa mtetezi wa taji la tennis la Wembledon Carlos Alcaraz raia wa Hispania ametwaa tena Ubingwa wa Michuano ya Wimbledon 2024 ikiwa ni mara ya pili mfululizo kwake akimsafisha kwa seti zote 3-0 kwa ushindi wa seti 6-2, 6-2 na 7-6 dhidi ya mpinzani wake wa finali zilizopita…

Read More
magazeti leo
  • Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo July 15, 2024

chikao chikao11 months ago9 months ago01 mins

Tumekuwekea habari kubwa za kwenye vichwa vya habari kwenye magazeti ya Tanzania katika habari za kitaifa na michezo ya leo Jumatatu 15 July 2024, na ujipatie nakala yako kwa undani wa habari.             

Read More
  • Sports

Uhispania Yatwaa Ubingwa wa EURO

chikao chikao11 months ago9 months ago01 mins

Uhispania imetwaa ubingwa wa kombe la Mataifa Ulaya, EURO kwa mara ya nne kihistoria kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya England kwenye fainali katika dimba la Olympiastadion (Berlin).   Hispania walitwaa kombe hilo kwa mara ya kwanza mnamo 1964 kabla ya kutwaa mara mbili mfululizo mwaka 2008 na 2012 na leo wametwaa kwa mara ya…

Read More
manula na simba
  • Sports

“Bado Manula ni Mali ya Simba” Magori

Bamba Digital11 months ago9 months ago01 mins

“Manula bado ni mchezaji wa Simba na siwezi kulizungumzia hili sana, kwa sababu halipo chini yangu labda mtendaji mkuu wa klabu ndio anaweza kulieleza kwa usahihi na jana alikutana na mchezaji huyo”. . “Ila ninachofahamu ni mchezaji wa Simba kama kutakuwa na mabadiliko ufafanuzi utatolewa”. Cresentius Magori Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi Simba SC

Read More
  • Sports

Kim na Khole walivyotupia mavazi ya kihindi kwenye harusi ya mtoto wa Bilionea wa India

Bamba Digital11 months ago9 months ago01 mins

Hivi ndivyo ndugu wawili Kim na mdogo wake Khloe Kardashian walivyopigilia mavazi jana katika siku ya pili ya harusi ya mtoto wa bilionea, Anant Ambani na mkewe Radhika Merchant ambao ndoa yao ilifungwa Ijumaa. Ndugu hao ambao wamekuwa wakitikisa kwenye masuala ya urembo siku ya pili walitupia mavazi ya Kihindi huku Kim akiwa na vito…

Read More
mbappe kutambulishwa madrid
  • Sports

Madrid wauza tiketi zote utambulisho wa Mbappe

Bamba Digital11 months ago9 months ago01 mins

Klabu ya Real Madrid imemaliza mauzo ya idadi yote ya tiketi zilizoandaliwa kwaajii ya mashabiki kuhudhuria utambulisho wa nyota wao mpya kutoka PSG Kylian Mbappe kwenye uwanja wa Santiago Bernabeu siku ya jumanne. Mbappe atatambulishwa mbele ya mashabiki zaidi ya 85,000 atakabidhiwa jezi namba 9 baada ya namba yake pendwa anayoitumia Ufaransa na PSG kumilikiwa…

Read More
man united
  • Sports

Man Utd yamsajili mshambuliaji kutoka Uholanzi

Bamba Digital11 months ago9 months ago01 mins

Klabu ya Manchester United ya ligi kuu Uingereza imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kati wa timu ya Taifa Uingereza na klabu ya Bologna ya ligi kuu Italia Joshua Zirkzee. Joshua amesaini na kutambulishwa leo mbele ya kocha mkuu wa klabu hiyo Mholanzi Erik Ten Hag na ataitumikia klabu hiyo hadi mwaka 2029 mkataba uliogharimu ada…

Read More
baba levo
  • Entertainment

Ujumbe wa Baba Levo Kwenye Birthday ya Mkewe

Bamba Digital11 months ago9 months ago01 mins

Huu ni ujumbe wa Msanii na Mtangazaji wa Wasafi FM, Baba Levo katika siku ya kuzaliwa mke wake, Salma. Happy birthday mke wangu wangu Salma Mdoli mama Ruby!. Nina mengi ya kuongea upendo wako kwangu, uvumilivu wako kwangu nikianza kuongea naamini nitajaza kitabu!. Ila kwa sasa naomba nikuvushe kwenye hadhi mke nikuweke kwenye level ya…

Read More
  • 1
  • …
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
© 2024 BAMBA DIGITAL. All Rights Reserved. Powered By BlazeThemes.