
SIMBA YAANZA KIBABE KUKUSANYA TUZO ZA LIGI
Nyota wa Simba SC , Jean Charles Ahoua raia wa Ivory Coast ametangazwa kuwa mchezaji bora wa NBC Premier League mwezi Agosti. Nyota huyo ametoa assist 3 na kufunga goli 1 ambapo akiisaidia timu hiyo kupata ushindi kwenye michezo miwili ya NBC Premier League dhidi ya Tabora United (3-0) na dhidi ya Fountain Gates (4-0)….