BEKI WA ZAMANI EPL, SOL BAMBA AFARIKI

Beki wa zamani wa Leicester City, Leeds United na Cardiff City, Sol Bamba ambaye amepoteza maisha Agosti 31, 2024 akiwa na umri wa miaka 39. Bamba raia wa Ivory Coast ambaye alikuwa kocha wa kocha wa klabu ya Adanaspor inayoshiriki Ligi Kuu ya TFF Nchini Uturuki amefariki baada ya kuugua ghafla. Taarifa ya klabu hiyo…

Read More

FOUNTAIN GATE YAWAPIGA MKWALA SIMBA

BAADA ya ushindi wa kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara, Fountain Gate wameipiga mkwara timu iliyowafunga katika mchezo wa kwanza ambayo ni Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Agosti 29 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Majaliwa ulisoma Namungo 0-2 Fountain Gate huku Namungo wakikosa penalti dakika ya 25 kwenye mchezo huo ambayo waliipata kutokana na…

Read More