Eddie Murphy afunga ndoa baada ya uchumba uliodumu kwa miaka 6

Nyota wa movie ya ‘Coming to America’, Eddie Murphy amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu mwanamitindo Paige Butcher. Wanandoa hao waliokuwa kwenye uchumba kwa takriban miaka miaka sita, walifunga ndoa katika sherehe ya faragha iliyojumuisha familia na marafiki wachache wa karibu. Harusi ya wawili hawa ilfanyika huko Anguilla kwenye visiwa vya Caribbean. Eddie…

Read More

Waziri Mkuu Ahimiza Usimamizi Kuelekea Siku Ya Mashujaa

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameagiza ofisi yake kuhakikisha inaendelea kufanya maandalizi kwa ajili ya Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa itakayofanyika Jijini Dodoma Julai 25,2024. Mhe. Majaliwa ametoa agizo hilo leo tarehe12 Julai, 2024 Jijini Dodoma wakati akikagua maendeleo ya maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu…

Read More