Azidishiwa mshahara mara 286 kimakosa, ajiuzulu na kutokomea
Mwaka 2022 mwanamume mmoja huko nchini Chile ambaye alilipwa kimakosa mshahara wake (mara 286 zaidi) aliacha kazi kwenye kampuni hiyo na kutokomea kusikojulikana. Kwa mujibu wa gazeti la Diario Financiero, Mei 30, 2022, mfanyakazi huyo alifika kwenye ofisi ya meneja wake kuripoti hitilafu iliyotokea katika malipo yake ya mshahara wa kila mwezi. Baada ya kufuatilia…