Tanzia…! Msanii Mandojo afariki dunia

Msanii wa Bongofleva Mandojo amefariki dunia leo August 11 2024, akiwa Jijini Dodoma. Msanii mwenzake aliyefanya naye kazi kwa ukaribu Domokaya na Soggdoggyanter wamethibitisha taarifa hiyo ya kifo cha Mandojo. Kwa mujibu wa taarifa za awali Mandojo amefariki kwa kupigwa na wananchi waliodhani kuwa ni mwizi baada ya kutokea mtafaruku kati yake na mtu mmoja…

Read More
uvccm

Kazi ya UVCCM sio upambe – Daniel Chongolo

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Bw. Daniel Chongolo, amewataka vijana mkoani humo kuacha kushawishika na kutumiwa na baadhi ya watu wanaowania nafasi mbalimbali za uongozi, hasa kuelekekea kipindi cha uchaguzi kwani vitendo hivyo vitasababisha kupata viongozi wasiokuwa na sifa. Bw. Chongolo amayasema hayo wakati akizungumza na makundi mbalimbali ya vijana mkoani humo, wakiwemo Umoja wa…

Read More