Arteta akubali kusaini miaka 3, itakayomuweka Emirates hadi 2027
Kocha wa Arsenal Mikel Arteta amekubali kusaini kandarasi mpya ya miaka 3 itakayomuweka kwenye Uwanja wa Emirates hadi mwaka 2027. Mkataba wa awali wa Arteta ulikuwa unatamatika mwishoni mwa msimu huu.