MASTAA 14 WAMPASUA KICHWA GAMONDI
LIGI Kuu Bara imesimama kwa wiki mbili kupisha kalenda ya Fifa kwa mechi za kimataifa za timu za taifa, huku kocha mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi kwa sasa akifunga na kuomba ili mastaa 14 wa timu hiyo walioitwa warudi salama ili kuendeleza moto kutetea ubingwa inayoushikili kwa msimu wa tatu mfululizo. Mechi za timu za taifa zikimalizika…