GAMONDI

MASTAA 14 WAMPASUA KICHWA GAMONDI

LIGI Kuu Bara imesimama kwa wiki mbili kupisha kalenda ya Fifa kwa mechi za kimataifa za timu za taifa, huku kocha mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi kwa sasa akifunga na kuomba ili mastaa 14 wa timu hiyo walioitwa warudi salama ili kuendeleza moto kutetea ubingwa inayoushikili kwa msimu wa tatu mfululizo. Mechi za timu za taifa zikimalizika…

Read More

FARHAN ASHINDWA KUJIZUIA KISA AISHI MANULA

BAADA ya kuaminiwa kulilinda lango la Simba kwa dakika 45 kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Al Hilal, Aishi Salum Manula alikuwa na kiwango kizuri sana kwa kuchomoa michomo ya hatari zaidi ya mara moja. Katika mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa, ulimaliza kwa sare ya 1-1, goli la Simba likifungwa na Leonel Ateba, Simba ilicheza vizuri kabla ya…

Read More

BEKI WA ZAMANI EPL, SOL BAMBA AFARIKI

Beki wa zamani wa Leicester City, Leeds United na Cardiff City, Sol Bamba ambaye amepoteza maisha Agosti 31, 2024 akiwa na umri wa miaka 39. Bamba raia wa Ivory Coast ambaye alikuwa kocha wa kocha wa klabu ya Adanaspor inayoshiriki Ligi Kuu ya TFF Nchini Uturuki amefariki baada ya kuugua ghafla. Taarifa ya klabu hiyo…

Read More

FOUNTAIN GATE YAWAPIGA MKWALA SIMBA

BAADA ya ushindi wa kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara, Fountain Gate wameipiga mkwara timu iliyowafunga katika mchezo wa kwanza ambayo ni Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Agosti 29 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Majaliwa ulisoma Namungo 0-2 Fountain Gate huku Namungo wakikosa penalti dakika ya 25 kwenye mchezo huo ambayo waliipata kutokana na…

Read More
Simba

SITA WA SIMBA WAITWA TIMU ZA TAIFA

MASTAA sita wa Simba inayoongoza Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/25 wameitwa kwenye majukumu yao ya timu ya taifa kwa ajili ya kuwania kufuzu AFCON 2025. Ipo wazi kwamba Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kwenye mechi mbili za ligi ambazo ni dakika 180 imekomba jumla ya pointi sita na safu ya ushambuliaji imefunga mabao saba kinara wa…

Read More