Vijana 100 wafungishwa ndoa mbele ya makamu wa Rais Dar
Taasisi ya Kiislamu ya Al Hikmah Foundation imefungisha ndoa vijana 100 wa kiume lengo likiwa ni kuwasaidia kusimama katika maadili na misingi ya dini na kuwasaidia wasio na uwezo wa kulipa mahari wenye nia ya kuoa. Mgeni rasmi katika hafla hiyo iliyofanyika jana katika Ukumbi wa DYCCC alikuwa ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa…