
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo July 28, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam July 28, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam July 28, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Yanga Sc wametambulisha uzi wao mpya wa nyumbani utakaotumika msimu wa 2024/25 🔰 Jezi ambazo bado zinatengenezwa na Mbunifu wao Sheria Ngowi na bado zimekua jezi pendwa kwa wananchi zenye ubunifu.
Serikali imeagiza kufungwa Kanisa la Christian Life Church linaloongozwa na Mchungaji Domique Kashoix Dibwe maarufu Kiboko ya Wachawi, lililopo Buza Kwa Lulenge. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya kanisa hilo kwenda kinyume cha taratibu za usajili. Barua hiyo ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kupitia Ofisi ya Msajili wa Jumuiya za Kiraia…
Mwimbaji mkongwe wa muziki wa Injili Bongo, Bahati Bukuku amefunguka kuhusu Irene Uwoya kuokoka na kuwa Mchungaji. “Kitendo cha Irene Uwoya kuokoka na kuamua kuwa Mchungaji ni kitendo cha Kimungu zaidi watu wasichukulie poa. Sio rahisi mtu kama Irene Uwoya kuamua kubadilika na kumrudia Mungu, kwa ufahari wake angeweza hata kufanya maovu mengine ya dunia…
Katika hali ya kushangaza Rapa wa Nigeria Falz, amedai kuwa hajawahi kuwa na upendo na mtu yeyote. Akizungumzia maisha yake ya mapenzi katika mahojiano na Podcast ya Menisms, Rapa huyo alisema hajawahi kufikia hatua katika mahusiano ya kutamka neno ‘I LOVE YOU / NAKUPENDA’. “Sijawahi kusema NAKUPENDA kwa mtu yeyote, yaani sijawahi kuwa…
Thadei Mbawala, mkazi wa Mtaa wa Mjimwema, Halmashauri ya Mji Njombe, mkoani hapa, amefariki dunia ndani ya gari baada ya kuwasha mkaa ili kuota moto na kupitiwa na usingizi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Kamishna Msaidizi (ACP) Mahamoud Banga, alithibitisha jana kutokea kwa tukio hilo juzi majira ya saa moja asubuhi ambapo pembeni…
Kocha wa zamani wa Yanga, Hans van der Pluijm amewataja Steven Mukwala na Jean Charles Ahoua kama maingizo mapya katika kikosi cha Simba ambayo yanaweza kurahisisha kazi kwa kocha Fadlu kutokana na ubora ambao ameona kutoka kwao, na amekuwa akivutiwa nao. “Makocha tumekuwa wafuatiliaji, nipo Ghana lakini huwa nafuatilia ligi za nchi mbalimbali, najua…
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam July 27, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.