“Wasanii Rudisheni Mikopo” – Mh Hamis Mwinjuma
Naibu Waziri wa Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma mwanafa Ametoa agizo kwa Mfuko wa Utamaduni na Sanaa Tanzania Ukutane na wasanii walionufaika na mkopo wa fedha kupitia mfuko huo na mpaka sasa hawajarejesha. Hil linajiri kabla ya kuandishwa kwa utaratibu mpya wa kutumia Akaunti za Benki kukopesha wasanii ukiwa ni…