Rubani apona ajali ya ndege Nepal

Watu 19 waliokuwa kwenye ndege ya Saurya Airlines iliyokuwa ikifanyiwa majaribio wamefariki dunia kutokana na ajali iliyotokea eneo la Kathmandu huko Nepal, Huku watu hao walikuwa wafanyakazi wa kiufundi wa shirika hilo.

Ni Rubani pekee ambaye kwa sasa anapatiwa matibabu hospitalini ndiye aliyenusurika katika ajali hiyo mbaya.

Mamlaka ya usafiri wa anga ya Nepal ina rekodi mbaya ya usalama wa usafiri wa anga kwa miaka mingi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *