GAMONDI AWAFAGILIA DUBE NA BALEKE

KOCHA Miguel Gamondi anashindwa kujizuia na kuchekelea kimtindo namna washambuliaji wapya wa timu, Prince Dube na Jean Baleke walivyoanza maisha ndani ya timu hiyo, akisema namna bora ya wao kujitambulisha ni kufunga mabao. Baleke na Dube kila mmoja amefunga bao katika mechi mbili tofauti zilizopita za kirafiki za kimataifa timu ikiwa Afrika Kusini, hatua ambayo imemtuliza Gamondi,…

Read More

Rubani apona ajali ya ndege Nepal

Watu 19 waliokuwa kwenye ndege ya Saurya Airlines iliyokuwa ikifanyiwa majaribio wamefariki dunia kutokana na ajali iliyotokea eneo la Kathmandu huko Nepal, Huku watu hao walikuwa wafanyakazi wa kiufundi wa shirika hilo. Ni Rubani pekee ambaye kwa sasa anapatiwa matibabu hospitalini ndiye aliyenusurika katika ajali hiyo mbaya. Mamlaka ya usafiri wa anga ya Nepal ina…

Read More