Binti Aliyemkata Koromeo Mtoto Akamatwa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limefanikiwa kumkamata Clemensia Cosmas Mirembe (19) ambaye anatuhumiwa kumjeruhi kwa kitu chenye ncha kali maeneo ya shingoni mtoto Malick Hashim (6) anayeishi eneo la Goba Kinzudi, Kinondoni. Tukio hilo lilitokea Julai 17, 2024 ambapo binti huyo ambaye alikuwa dada wa kazi alimjeruhi mtoto kisha baada…

Read More