LOMALISA ALIA NA YANGA KUMSALITI

LICHA ya kupata dili la kuichezea G.D. Sagrada Esperanca ya Angola, beki wa kushoto aliyeachwa Yanga, Joyce Lomalisa amelia na mabosi wa klabu hiyo ya Jangwani kwa kumwekea kauzibe kupata ofa nzuri kwa timu zilizokuwa zikimpigia hesabu kumsajili kabla ya Waangola hao kumrudia katika Ligi ya Girabola. Lomalisa alisema alikuwa anatamani sana kusalia Jangwani, lakini mambo yalitibuka…

Read More

YANGA KAMILI KWA MECHI ZA KIMATAIFA AFRIKA KUSINI

NAHODHA msaidizi wa Yanga Dickson Job ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mechi zote za kirafiki kimataifa ambazo watacheza nchini Afrika Kusini ikiwa ni mwendelezo wa maandalizi ya msimu wa 2024/25. Ipo wazi kwamba Job ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi anaingia kwenye orodha ya mchezaji wa kwanza kufunga bao ndani ya Yanga msimu uliopita alifanya hivyo mbele ya KMC mchezo…

Read More