Penzi la Kizz Daniel lapumulia mashine.
Penzi la msanii wa Muziki kutoka Nigeria Kizz Daniel linatajwa kuwa matatani kuvunjika kutokana na ujumbe aliokuwa ameuchapisha msanii huyo kwenye mtandao wa X na badae kabla ya kuufuta. Msanii huyo alichapisha ujumbe unaosomeka “Kama unataka kuvunja mahusiano na mimi hakuna shida wewe nilipe bili zangu kwa kila kitu nilichokufanyia muda wangu, zawadi zangu na…