
ALEXIS SANCHEZ AREJEA INTER
Alexis Sanchez amerejea Udinese siku ya Jumamosi baada ya mshambuliaji huyo wa Chile kunyofolewa na mabingwa wa Serie A Inter Milan. Katika taarifa yake, Udinese inesema kuwa Sanchez, 35, alitia saini mkataba wa miaka miwili na klabu hiyo ambapo ilimfanya achomoze katika soka la Ulaya. Sanchez alisajiliwa kwa mara ya kwanza Udinese mwaka 2006 na…