
AHMED ALLY AINGIA KWENYE SIMBA DAY NA WAMASAI
Leo tarehe 3 August 2024 ni siku ambayo ilikuwa inasubiriwa kwa hamu na wanachama, mashabiki na wapenzi wa Simba, kwenye kusherehekea siku yao pendwa na Simba Day, ambapo meneja habari na mawasiliano wa Simba Ahmed Ally aliingia kwa aina ya kipekee akiwa na wamasai pia akivalia mavazi ya kimasai. Simba Day “Ubaya Ubwela” huu ni…