Azam kumaliza kambi ya Pre-Season Morocco na Wydad ya Rulani Mokwena
Klabu ya Azam leo usiku itahitimisha kambi ya maandalizi ya msimu iliyoweka kwa wiki kadhaa huko Benslimane Morocco kwa mchezo mkubwa wa kirafiki dhidi ya Wydad AC ambayo ni moja ya klabu kubwa nchini humo na barani Afrika kwa ujumla. Mchezo huo dhidi ya Wydad ambao wanafundishwa na aliyekuwa kocha wa Mamelodi Sundwons Rulani…