Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo July 24, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam July 24, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam July 24, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Harmonize, Mmiliki wa Kundi la Konde Music kwa mara ya kwanza ameeleza ndoto yake ya kile anachopanga kukifanya baada ya kustaafu kazi yake ya muziki. Katika mahojiano, msanii huyo alieleza kuwa anafahamu kabisa kuwa hatakuwepo kwenye tasnia ya muziki milele na tayari amebainisha ni kitu gani ataridhika nacho pindi taaluma yake ya muziki itakaposhuka. “Nimewaza…
Klabu ya Simba leo Julai 23,2024 imetoa taarifa kuwa Mchezaji wake, Kibu Denis Prosper hajaripoti kambini kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa mwaka 2024/2025. “Tunapenda kuutarifu umma kuwa Simba tulimuongezea Kibu mkataba wa miaka miwili zaidi utakaoishia June 2026 na kumlipa stahiki zake zote za kimkataba, hata hivyo Mchezaji huyu amekuwa akitoa sababu…
Mchezaji kiraka wa kimataifa wa Tanzania Novatus Dismas Miroshi amejiunga na kutambulishwa rasmi na klabu ya Goztepe Spor Kulubu ya ligi kuu soka nchini Uturuki akitokea Zulte Waregem ya ligi kuu soka nchini Ubelgiji. Novatus ambaye alianza vizuri msimu uliopita akiwa na Shakhtar Donetsk ya Uturuki alipokuwa kwa mkopo kwenye ligi kuu nchini humo na…
Msanii wa Afrobeat kutoka Nigeria Davido ameendelea kuonyesha jeuri ya pesa zake baada ya kuweka Almasi kwenye meno yake yenye thamani ya Billion 1.3 sawa na dola 500k. Sambamba na hilo msanii huyo amemzawadia meneja wa mke wake Ubi Franklin gari jipya aina ya GAC Jeep. Ubi Franklin alichapisha video kwenye ukurasa wake wa instagram…
Mahakama nchini Sierra Leone imewakuta na hatia watu 11 wanaotuhumiwa kwa uhaini na makosa mengine baada ya jaribio la mapinduzi mwezi Novemba mwaka jana. Miongoni mwao ni Amadu Koita Makalo, mwanajeshi wa zamani, aliyekuwa mlinzi wa aliyekuwa Rais Ernest Bai Koroma, ambaye Mahakama imemhukumu miaka 182 jela. Koita Makalo alikuwa na ufuasi mkubwa kwenye mitandao…
Ng’ombe aliyewahi kuuzwa kwa bei kubwa zaidi duniani anafahamika kwa jina la ‘MARA EMOVIS’ aliweka rekodi ya dunia baada ya kuuzwa kwa dollar milioni 4 (sawa na shilingi Bilioni 11 za kibongo) kwenye mnada uliofanyika nchini Brazil mwaka 2023. Sifa za ng’ombe huyo ni ustahimilivu wao katika hali ya hewa, joto, kukabiliana na mazingira ya…
Wanawake kadhaa waliokimbia mji wa Omdurman nchini Sudan wamesema kuwa kufanya mapenzi na wanajeshi ndiyo njia pekee inayowawezesha kupata chakula au bidhaa ambazo wataweza kuuza ili kupata pesa za kulisha familia zao, limeripoti gazeti la Guardian la nchini Uingereza. Muathiriwa mmoja alisema matukio hayo hufanyika katika baadhi ya viwanda ambako chakula cha akiba ya nchi…