chikao chikao

Novatus Dismas

Novatus Atambulishwa Rasmi Uturuki

Mchezaji kiraka wa kimataifa wa Tanzania Novatus Dismas Miroshi amejiunga na kutambulishwa rasmi na klabu ya Goztepe Spor Kulubu ya ligi kuu soka nchini Uturuki akitokea Zulte Waregem ya ligi kuu soka nchini Ubelgiji. Novatus ambaye alianza vizuri msimu uliopita akiwa na Shakhtar Donetsk ya Uturuki alipokuwa kwa mkopo kwenye ligi kuu nchini humo na…

Read More