chikao chikao

Penzi jipya la Jux lamtesa EX wake.

Aliyewahi kuwa mpenzi wa msanii wa muziki wa bongofleva Juma Jux mwanadada Karen Bujulu ameonekana kuumizwa na penzi jipya la msanii huyo kutokana na kile alichokichapisha kwenye ukurasa wake wa instagram muda mfupi baada ya Jux kuchapisha picha akiwa na mpenzi wake mpya raia wa Nigeria Pricila Star.   Jux ambaye hivi karibuni amekuwa akitajwa…

Read More

LOMALISA ALIA NA YANGA KUMSALITI

LICHA ya kupata dili la kuichezea G.D. Sagrada Esperanca ya Angola, beki wa kushoto aliyeachwa Yanga, Joyce Lomalisa amelia na mabosi wa klabu hiyo ya Jangwani kwa kumwekea kauzibe kupata ofa nzuri kwa timu zilizokuwa zikimpigia hesabu kumsajili kabla ya Waangola hao kumrudia katika Ligi ya Girabola. Lomalisa alisema alikuwa anatamani sana kusalia Jangwani, lakini mambo yalitibuka…

Read More