Katiba ya Yanga haimtambui Hersi kuwa Rais, Mahakama yaamuru aachie ngazi
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam, imeamuru Uongozi wa Club ya Yanga ukiongozwa na Rais wa Yanga Injinia Hersi Saidi na wenzake, kuachia ngazi na kuondoka kwenye Club hiyo kwakuwa Katiba ya Yanga haitambui uwepo wao. Kwa mujibu wa tovuti ya MillardAyo Imedaiwa kuwa uamuzi huu wa Mahakama umekuja baada ya…