chikao chikao

Ruto awashutumu Wamarekani wanaofadhili maandamano ya Gen-Z Kenya

Rais wa Kenya William Ruto akiwa katika hafla moja katika mji wa Rift Valley, Nakuru ameshutumu taasis binafsi kutoka nchini Marekani ya Ford Foundation inayofadhili maandamano na ghasia zinazoendelea nchini humo kwa wiki kadhaa sasa huku yakishuhudia makumi ya raia wakipoteza uhai. “Wale wanaofadhili machafuko katika Jamhuri ya Kenya, aibu kwao kwa sababu wanafadhili ghasia…

Read More

Bilionea wa India agharamia harusi za watu 50 na kuwalisha kwa mwaka mzima.

Tajiri namba moja barani Asia kutoka Nchini India Mukesh Ambani ambaye hivi karibuni alitikisa Duniani kutokana na harusi kubwa na ya kifahari ya kijana wake Anant Ambani iliyohudhuriwa na mabilionea duniani kote kuzua gumzo,imefahamika kuwa kabla ya harusi hiyo ya kijana wake iliyogharimu zaidi ya Trilioni 1.9 aligharamia pia harusi za wachumba 50 ambao hakuwa…

Read More