Mchezaji apoteza maisha baaada ya kuanguka uwanjani.
Mchezaji wa timu ya Club National de Football Juan Izquierdo mwenye umri wa miaka 27 raia wa Uruguay amefariki dunia siku ya jana akipatiwa matibabu baada ya kuanguka uwanjani kwenye mchezo wa Copa libertadores dhidi ya Sao Paolo ya Brazil siku ya Alhamisi ya agosti 22 ambapo mchezo uliomalizika kwa klabu yake kupoteza kwa goli…