Clara kama Ronaldo Al Nassr, afunga mawili wakishinda Ligi ya Mabingwa
Mchezaji wa Kimataifa wa Tanzania, anayekipiga katika klabu ya Al Nassr ya wanawake, Clara Luvanga jana amisaidia timu yake kushinda mchezo wao wa kwanza wa hatua ya makundi ya michuano ya klabu Bingwa Barani Asia kwa upande wa wanawake baada ya kufunga mabao mawili kati ya matatu yaliyofungwa na timu yake katika mchezo wao dhidi…