Mume achoma vyeti vya mkewe baada ya kugundua anamcheat
Mwanamume mwenye hasira amefichua kwamba alimuadhibu mkewe kisiri baada ya kugundua anachepuka na wanaume wengine. Mume huyo alisimulia kwamba aligundua mkewe alichepuka na wanaume wawili kwa kufanya nao mapenzi kwa pamoja siku iliyopita na akaamua kumfanyia kitendo ambacho hatosahau. Ili kujiridhisha zaidi na adhabu yake, aliidukua simu yake na kuiba kila senti iliyokuwa kwenye akaunti…