Skip to content
06/06/2025
  • Habari za Magazeti ya Tanzania leo October 12, 2024
  • Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akishiriki zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura
  • Drake apiga hatua kubwa ya streams kwenye jukwaa la Spotify
  • ‘Gareth Southgate ndiye chaguo la wazi’kuwa mbadala wa Ten Hag
BAMBA DIGITAL

BAMBA DIGITAL

Feel at Home

  • Home
  • Entertainment
  • Top Storie
  • News
  • Magazeti
  • Contact Us
  • English Premier League Table 2024-25
YOUTUBE
Headlines
  • Habari za Magazeti ya Tanzania leo October 12, 2024

    8 months ago
  • Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akishiriki zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura

    8 months ago
  • Drake apiga hatua kubwa ya streams kwenye jukwaa la Spotify

    8 months ago8 months ago
  • ‘Gareth Southgate ndiye chaguo la wazi’kuwa mbadala wa Ten Hag

    8 months ago
  • Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo October 01, 2024

    8 months ago
  • Waliotumwa na Afande wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela, ‘Kesi ya Binti wa Yombo’

    8 months ago8 months ago
  • Home
  • Sports
  • Page 14

Highlight News

Sports

  • Sports

Robertinho arejea Rayon Sports ya Rwanda

chikao chikao11 months ago10 months ago01 mins

Klabu ya Rayon Sports ya ligi kuu Rwanda imethibitisha rasmi urejeo wa aliyekuwa kocha wa klabu hiyo na klabu ya Simba ya Tanzania Roberto Oliviera ‘Robertinho’ raia wa Brazil kuwa kocha wao mkuu. Rayon Sports wamemtambulisha nyota huyo wa zamani wa vilabu vya Flamengo, Fluminense na Atleico Mineiro za Brazl pamoja na timu ya taifa…

Read More
  • Sports

TETESI ZA SOKA: Man United watangaza ofa ya Euro milioni 35 kuipata saini ya Matthijs de Ligt

chikao chikao11 months ago10 months ago01 mins

Manchester United wametoa ofa yao ya kwanza ya euro milioni 35 kwa ajili ya kumsajili mchezaji wa Bayern Munich, Matthijs de Ligt, hata hivyo Bayern wamechomoa wanataka zaidi ya Euro milioni 50.  

Read More
  • Sports

Mido ‘Fundi’ wa Twiga Stars kucheza timu inayoshiriki UEFA

chikao chikao11 months ago10 months ago01 mins

Kiungo mshambuliaji ‘fundi’ wa timu ya Taifa ya wanawake ya Tanzania Diana Lucas Msewa mwenye umri wa miaka 21 anatajwa kuwa kwenye mipango ya kujiunga na klabu ya Trabzonspor Kadin Inayoshiriki Ligi kuu wanawake nchini Uturuki na ligi ya Mabingwa Ulaya akitokea Amed Sk ya ligi kuu nchini humo. klabu aliyopo Diana sasa, Amed SK…

Read More
Awesu simba
  • Sports

SWALA LA AWESU KASAJILIWA KIHUNI…? MAJIBU YA SIMBA HAYA HAPA

chikao chikao11 months ago10 months ago03 mins

MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amefafanua juu ya sintofahamu kuhusu usajili wa aliyekuwa kiungo wa KMC FC, Awesu Awesu. Kuna taarifa iliibuka kutoka kwa viongozi wa KMC FC baada ya Simba kumtambulisha Awesu kuwa klabu hiyo haijafuata taratibu za usajili na kwenda mbali kuwa bado ni mchezaji wao. Ahmad…

Read More
  • Sports

TIMU YA DARAJA LA PILI MISRI KUKIPIGA NA SIMBA LEO

chikao chikao11 months ago10 months ago04 mins

KOCHA Mkuu wa Simba,Fadlu Davids leo anatarajia kujaribu siraha zake dhidi ya El Qanah inayoshiriki ligi daraja la pili nchini Misri. Simba itakuwa ni mechi yao ya kwanza ya kirafiki kucheza tangu walipotua nchini Misri katika jiji la Ismailia walipoweka kambi wiki mbili zilizopita kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2024/25. Kocha Fadlu amesema…

Read More
  • Sports

TETESI ZA SOKA: Napoli wanataka Euro milioni 110 kwa Osimhen, wakataa 80 za PSG

chikao chikao11 months ago01 mins

Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) imetoa ofa ya Euro milioni 80 kwa ajili ya kumnunua mchezaji wa Napoli mnigeria Victor James Osimhen. Hata hivyo klabu yake imegoma na kusema haitachukua pesa yoyote chini ya Euro milioni 110. Mpaka sasa hakuna klabu iliyokubali kutoa kitita hicho.

Read More
Thiago Messi
  • Sports

“Siku moja ningependa kucheza na Lamine Yamal” – Thiago Messi

chikao chikao11 months ago01 mins

Thiago Messi ambaye ni mtoto wa nyota wa Argentina Lionel Messi, amesema siku moja ana ndoto ya kuja kucheza soka na kinda wa Hispania nayefanya vizuri sana kwasasa, Lamine Yamal. Thiago amefichua hayo alipokuwa kwenye mahojiano na mwandishi wa habari wa Hispania, José Ramón de la Morena. Thiago kwa sasa anachezea klabu ya watoto wa…

Read More
  • Sports

AZIZ KI ATOBOA UKARIBU WAKE NA CHAMA ULIPOANZIA

chikao chikao11 months ago10 months ago04 mins

MFUNGAJI Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu uliopita, aziz ki, amefichua siri baina yake na mchezaji mpya kwenye klabu hiyo, Clatous Chama kuwa kila mmoja alitaka kucheza timu moja na mwenzake. Aziz Ki, ambaye msimu uliopita alikuwa mchezaji tegemeo kwenye kikosi hicho, akiibuka pia mfungaji bora wa Ligi Kuu kwa kupachika mabao 21, amesema…

Read More
  • 1
  • …
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • …
  • 19
© 2024 BAMBA DIGITAL. All Rights Reserved. Powered By BlazeThemes.