LOMALISA ALIA NA YANGA KUMSALITI

LICHA ya kupata dili la kuichezea G.D. Sagrada Esperanca ya Angola, beki wa kushoto aliyeachwa Yanga, Joyce Lomalisa amelia na mabosi wa klabu hiyo ya Jangwani kwa kumwekea kauzibe kupata ofa nzuri kwa timu zilizokuwa zikimpigia hesabu kumsajili kabla ya Waangola hao kumrudia katika Ligi ya Girabola. Lomalisa alisema alikuwa anatamani sana kusalia Jangwani, lakini mambo yalitibuka…

Read More
UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa wachezaji wapya ambao wametambulishwa watafanya kazi kubwa kwa kushirikiana na wengine katika mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Simba imeweka kambi nchini Misri ikiwa ni maandalizi ya kuelekea msimu wa 2024/25 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na kila timu kujipanga kufanya vizuri. Ipo wazi kwamba katika anga la kimataifa Simba itashiriki Kombe la Shirikisho baada ya kugotea nafasi ya tatu kwenye msimamo na namna nne ni Coastal Union ambayo iligotea nafasi ya nne. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba ameweka wazi kuwa wanatambua ushindani utakuwa mkubwa hilo linawapa nguvu wachezaji kuongeza juhudi kwenye maandalizi. “Wachezaji wetu wote wapya na wale waliokuwa kwenye kikosi msimu wa 2023/24 wapo imara na wanatambua kwamba kuna kazi kubwa ya kufanya. Tunaelekea kwenye Simba Day Agosti 3 2024 hii ni siku muhimu kwetu na Wanasimba mjitokeze kwa wingi kwa kuwa kuna mashine za kazikazi.” Wachezaji waliopo kambini ni pamoja na Mukwala Steve, Awesu Awesu. Willy Onana, Mohamed Hussein, Shomari Kapombe.

Simba Yatamba Kushusha mashine mpya za kazi

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa wachezaji wapya ambao wametambulishwa watafanya kazi kubwa kwa kushirikiana na wengine katika mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Simba imeweka kambi nchini Misri ikiwa ni maandalizi ya kuelekea msimu wa 2024/25 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na kila timu kujipanga kufanya vizuri. Ipo wazi kwamba katika anga la kimataifa Simba itashiriki Kombe la Shirikisho…

Read More

YANGA KAMILI KWA MECHI ZA KIMATAIFA AFRIKA KUSINI

NAHODHA msaidizi wa Yanga Dickson Job ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mechi zote za kirafiki kimataifa ambazo watacheza nchini Afrika Kusini ikiwa ni mwendelezo wa maandalizi ya msimu wa 2024/25. Ipo wazi kwamba Job ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi anaingia kwenye orodha ya mchezaji wa kwanza kufunga bao ndani ya Yanga msimu uliopita alifanya hivyo mbele ya KMC mchezo…

Read More